Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Habari ya Mjini leo ni Hawa watu wawili Mtangazaji Edzen na Moza..Ambao inasemekana walikuja kuwa wapenzi baada ya Edzen kuachana na Dida..leo imesambaa video kwenye Insta na whats app ikionyesha Edzen akitoka kuoga na kuingia chumbani akiwa na taulo na kisha kulivua na kuweka mambo hadharani ..huku akivaa boxer.....Video inasemekana imechukuliwa na Moza , Mazingira yanaonyesha ni chumba cha msichana hivyo alikuwa kwa moza .....

Aibu sana hii kitu mpaka nimeshindwa kuweka video kwa ajili ya Maadili ..Embu Edzen badilika sasa we kila siku majanga tu na hawa wadada.....

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top