Home
»
Matukio
» Ukatili: Mwanaume Amwekea Mkewe Gundi ya Super Glue Sehemu za Siri Kufuatia Wivu wa Mapenzi.
Katika hali ya kushangaza mwanaume mmoja amwekea mkewe gundi ya super glue sehemu za siri kufuatia wivu wa mapenzi.
Vitendo vya uzalilishaji na unyanyasaji dhidi ya wanawake vinaendelea kushamili licha ya jitihada zinazoendelewa kufanywa na serikali na umoja wa mataifa kupinga unyanyasaji na ukatili dhidi ya wanawake .
Mwanamke mmoja mwenye umri wa miaka 40 kujitokeza hadharani siku ya jana na kusema kuwa kamwe hataweza kushiriki tendo la ndoa katika maisha yake baada ya mumewe kumuwekea gundi aina ya super glue mwanamke huyo aliendelea kulalamika kuwa mwanaume huyo aliendelea kufanyia videndo hivyo mara kwa mara,
kila inapofika tarehe 3 mwezi wa 9 huwa anapata maumivu makali anakumbuka unyama aliofanyiwa na muwe wake huyo. aliendelea kueleza kuwa huwa anapata maumivu makali wakati akienda haja dogo. hadi sasa hivi mume wa wanamke huyo hajawahi kukamatwa kwa kitendo hiki alichokifanya amekimbilia sehemu ambayo haijulikani aliko.
Mwanamke huyo anasema ana hofu endapo mume huyo akirejea tena au wakirudiana tena anaweza akamchinja.
Bonyeza HAPA kuangalia taarifa hiyo ikirepotiwa na kitua cha AZAM TV
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
Je Umezisoma Hizi?
- Tetemeko Lililotokea Jana Katika Mikoa Ya Kanda ya Ziwa Limeua Zaidi ya Watu 10 na Kujeruhi Wengine 12011 Sep 20160
Tetemeko la ukubwa wa mtikisiko wa kipimo cha Ritcher 5.7 limetokea katika mikoa mitatu nc...Read more ?
- Msafara wa Makamu wa Rais, Samia Suluhu wapata ajali Mtwara.09 Sep 20160
Msafara wa Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzani, Mama Samia Suluhu Hassan ambao uliku...Read more ?
- Polisi Washuhudia Majambazi Yakitwangana Risasi.......Zakamatwa Shehena za Silaha na Vifaa vya Uhalifu06 Sep 20160
WATU watatu wanaosadikiwa kuwa ni majambazi wa kutumia silaha, ambao wamehusika kufanya matukio ...Read more ?
- Askari Magereza Atiwa Mbaroni Kwa Kuingia Wodini Akiwa Amelewa na Kisha Kuanza Kufyatua Risasi28 Aug 20160
POLISI mkoani Rukwa inamshikilia askari Magereza, Cleophas Chapaulinge kwa kosa la kulewa na k...Read more ?
- Polisi Mwingine Auawa Kwenye Mapambano Makali na Majambazi Huko Mkuranga27 Aug 20160
Ilikuwa ni kama filamu ya askari na maadui wakati askari wa Jeshi la Polisi walipopambana na wat...Read more ?
- RC Makonda: Polisi Mkikuta Mtu Yeyote Msituni Pigeni bila Huruma.......Haki za binadamu Wakiwauliza Waambieni waje Kwangu26 Aug 20160
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda ameliagiza Jeshi la Polisi kuwagonga na kuwapiga wah...Read more ?
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment
Post a Comment