Katika hali ya kushangaza mwanaume mmoja amwekea mkewe gundi ya super glue sehemu za siri kufuatia wivu wa mapenzi.
Vitendo vya uzalilishaji na unyanyasaji dhidi ya wanawake vinaendelea kushamili licha ya jitihada zinazoendelewa kufanywa na serikali na umoja wa mataifa kupinga unyanyasaji na ukatili dhidi ya wanawake .
Mwanamke mmoja mwenye umri wa miaka 40 kujitokeza hadharani siku ya jana na kusema kuwa kamwe hataweza kushiriki tendo la ndoa katika maisha yake baada ya mumewe kumuwekea gundi aina ya super glue mwanamke huyo aliendelea kulalamika kuwa mwanaume huyo aliendelea kufanyia videndo hivyo mara kwa mara,
kila inapofika tarehe 3 mwezi wa 9 huwa anapata maumivu makali anakumbuka unyama aliofanyiwa na muwe wake huyo. aliendelea kueleza kuwa huwa anapata maumivu makali wakati akienda haja dogo. hadi sasa hivi mume wa wanamke huyo hajawahi kukamatwa kwa kitendo hiki alichokifanya amekimbilia sehemu ambayo haijulikani aliko.
Mwanamke huyo anasema ana hofu endapo mume huyo akirejea tena au wakirudiana tena anaweza akamchinja.
Bonyeza HAPA kuangalia taarifa hiyo ikirepotiwa na kitua cha AZAM TV
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro







Post a Comment
Post a Comment