
Sifa nyiiiingi zipo pia kwa V Money a.k.a Vanessa Mdee ambae ni mkali wa bongofleva kwenye hits kama ‘come over’ ‘closer’ ‘safari’ na nyingine ambazo zimemfanya awepo bongoflevani na sasa katuletea hii mpya kafanya na rapper K.O wa South Africa.
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
Post a Comment
Post a Comment