Video iliyopachikwa hapo chini (imepatikana via WhatsApp) inaonesha tukio la leo Alhamisi, Machi 12, 2015 la majambazi wakivamia na kisha kupora fedha kutoka kwenye maduka katika eneo la Mikochieni mitaa ya kwa Mwalimu Nyerere kutoka kwenye ATM ya CRDB na duka la vinywaji la Mohans na maduka mengine ya jirani, ambapo inasadikiwa kuwa kiasi cha shilingi milioni 100/= kilichukuliwa.
Kama kifaa chako hakina uwezo bonyeza HAPA
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro








Post a Comment
Post a Comment