Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Siku mbili baada ya timu ya azam kuondolewa kwenye michuano ya kimataifa ya Klabu bingwa Afrika kwa kufungwa magoli matatu na El Meleck ya sudan wamemtimua kocha wao leo hii, wameandika hivi kwenye page yao ya faceboook

Uongozi wa Azam FC unatangaza kuachana na kocha wake mkuu Joseph Omog baada ya kuwa naye kwa miezi 14.

Omog aliyeipa Azam FC ubingwa wa kwanza msimu uliopita ameondoka pamoja na msaidiI wake Ibrahim Shikanda.
Kwa sasa timu itakuwa chini ya George Best Nsimbe

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top