Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
seed-potato-planting-s4x3_lgKumekuwa na njia mbalimbali za uzazi wa mpango ambazo zinatambulika na kushauriwa kitaalamu, msichana mmoja Colombia amewashangaza madaktari kutokana na njia ambayo ameitumia kwa ajili ya uzazi wa mpango.
Msichana huyo alisema alishauriwa na mama yake kuweka kiazi sehemu zake za siri kama njia ya uzazi wa mpango kuzuia asipate ujauzito.
Binti huyo amesema mama yake ndiye aliyemuonesha njia hiyo ya asili kwa maelezo kwamba kiazi kinapoingizwa sehemu za siri ni njia nzuri ya uzazi wa mpango.
Baada ya kupita wiki mbili alianza kulalamikia maumivu yasiyokuwa ya kawaida na kuamua kwenda clinic, baada ya kufanyiwa uchunguzi aligundulika mizizi inayochipua ikichungulia kutoka kwenye sehemu zake za siri, lakini kiazi hicho kiliondolewa bila kupata athari zozote katika njia yake ya uzazi.
Njia zisizo sahihi na hatari za uzazi wa mpango bado zinaendelea kutumika ulimwenguni kote hasa na mabinti wadogo wanaojihusisha na uhusiano wa kimapenzi kabla ya wakati.

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro
06 Mar 2015

Post a Comment

 
Top