March 18, 2025 09:17:39 AM Menu
 

Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj_Y3Toj7yX9Nah3_2OIn09cXUNcIlVa_pOjG0N6pe1hdemBm8l80xgiHL1H-rQNLgJOvlT4hjJAu9saS6Vhxq2tPRZL5KD9HFNUORaeTwQRWlodvsrizeKufjvPY6knYQJnaiyKYPp0mc/s1600/D-South.jpg 
Inaonekana bifu la Davido na Diamond bado linaendelea japo wao wenyewe kusema kua hakuna bifu kati yao wawili. Wiki hii Davido alikua Kenya na kibaya zaidi alilalamikiwa na mashabiki wake kua alipanda stejini kalewa na kufanya show iliyochukua dakika 20 tu kisha akashuka.

Kabla ya Show hiyo Davido alifanyiwa mahojiano na kituo cha Tv cha Kenya na Davido aliulizwa swali kama nyimbo za Davido zinapigwa nchini Nigeria alisema NO akimaanisha kua hua nyimbo za Diamond hazipigwi Nigeria. Ila alisema nyimbo za wasanii wengine wa Afrika Mashariki zinapigwa kama za Saut Soul.

Unaweza tazama video ya Davido alipokua akihojiwa hapa chini.

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro
31 Mar 2015

Post a Comment

 
Top