Baada ya kuzinguliwa kwa muda mrefu na chama chake cha CHADEMA, aliyekuwa Mbunge wa Kigoma Kaskazini Zitto Ruyagwa Kabwe sasa ameamua kujiunga rasmi na chama kipya cha siasa cha ACT-Tanzania ambapo jana Jumamosi ya Machi 21 alipokelewa rasmi na chama hicho na kukabidhiwa kadi yake yenye namba 007194.
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro












Post a Comment
Post a Comment