Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This

Baada  ya  kuzinguliwa  kwa  muda  mrefu  na  chama  chake  cha  CHADEMA, aliyekuwa Mbunge wa Kigoma Kaskazini Zitto Ruyagwa Kabwe sasa ameamua  kujiunga  rasmi  na  chama  kipya  cha  siasa  cha  ACT-Tanzania   ambapo  jana Jumamosi ya Machi 21  alipokelewa rasmi na chama hicho na kukabidhiwa kadi yake yenye namba 007194.
 
Hatua  imekuja  ikiwa  ni  siku moja  tu  baada ya Zitto kutangaza kuachia ubunge na kuandika barua rasmi ambapo sasa amekuwa mwanachama wa ACT-Tanzania  




Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top