Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Baada ya Chege kumbwatukia Maimartha aliposema amevaa hirizi kule dodoma kwenye shoo maimartha aamua kumtolea uvivu vhege na kufunguka instagram kama ifuatavyo

"Chegechigunda this is too much embu koma kunitukana mpuuzi ni we we usiyejua kusoma SMS vizuri..niliandika kwa wema Tu naona mwenzangu umatake advantage huna angle ya promo eh..nyie wanamziki uchwara embu mjiheshimu msipende kugombana Na watu Chegechigunda mpuuzi ni we we... Na kama we we mwanaume Mimi mwanamke!"kaogee..chezea vyeusi hiki chekundu ntakutia DOA...take ur time usione nilinyamazaa weee ....ehee"

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro
27 Feb 2015

Post a Comment

 
Top