March 29, 2025 11:02:59 PM Menu
 

Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This


Mwanaume huyu anayeitwa  Pela Tonye Okiemute ni maarufu sana huku Nigeria kwa kazi yake anayoifanya ya kutengeneza Mikorogo ya kujichubua ngozi hasa kwa wanawake , Wenyewe wanamwita "King of Beauty", Wateja wake wakubwa ni Wasanii wakubwa na Wanawake wanaojiita

Socialite kama kina Agness Masogange na Vera Sidika, yeye mwenyewe amejichubua vya kutosha kiasi kwamba kama ulikuwa unamjua zamani kwa sasa uwezi kumtambua , Pale Ameshare picha zake alivyokuwa zamani ujionee jinsi mkorogo ulivyombadilisha:





Despite serious backlash online against skin bleaching and lightening, based on the comments and testimonials on his instagram page @pelsinternational, it is obvious that there is a long list of potential clients who want the same skin results.





Haya Wabongo Mpo ? Kwa wale wanaopenda kujichubua Mtaalam Huyo sasa

Credit: udakuspecially.com

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro
12 Feb 2015

Post a Comment

 
Top