Mwanaume huyu anayeitwa Pela Tonye Okiemute ni maarufu sana huku Nigeria kwa kazi yake anayoifanya ya kutengeneza Mikorogo ya kujichubua ngozi hasa kwa wanawake , Wenyewe wanamwita "King of Beauty", Wateja wake wakubwa ni Wasanii wakubwa na Wanawake wanaojiita
Socialite kama kina Agness Masogange na Vera Sidika, yeye mwenyewe amejichubua vya kutosha kiasi kwamba kama ulikuwa unamjua zamani kwa sasa uwezi kumtambua , Pale Ameshare picha zake alivyokuwa zamani ujionee jinsi mkorogo ulivyombadilisha:
Despite serious backlash online against skin bleaching and lightening, based on the comments and testimonials on his instagram page @pelsinternational, it is obvious that there is a long list of potential clients who want the same skin results.
Haya Wabongo Mpo ? Kwa wale wanaopenda kujichubua Mtaalam Huyo sasa
Credit: udakuspecially.com
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
Je Umezisoma Hizi?
- Ni Kosa Kumwangalia Mwanamke Kwa Sekunde 14 Nchini India19 Aug 20160
Watumiaji wa mitandao ya kijamii wamelalamika kuhusu tamko la afisa mmoja aliyesema kuwa ni kinyu...Read more ?
- Pichaz: Ajali za kuchekesha… zinazotokea alafu unatamani kujua kama ni kweli na ilikuwaje?30 Jul 20150
Kuna ajali nyingine kwenye hizi picha unaona kabisa hii inawezekana ilitokea lakini kasoro ajali...Read more ?
- Nikiridhishwa KITANDANI sharti nimsifie mume Wangu- Joyce Kiria24 Jul 20150
Mtangazaji wa Kipindi cha Wanawake Live, Joyce Kiria ametoa kali ya mwaka kwa kueleza kuwa, akis...Read more ?
- Njiwa mwenye Hirizi Asababisha Timbwili Baa09 Jun 20150
Timbwili la aina yake lilizuka mwishoni mwa wiki iliyopita baada njiwa aliyekuwa amefungwa hiriz...Read more ?
- Siku Moja Kabla ya Ndoa...Bi Harusi Agoma Kuolewa...Bwana Harusi Aangua kilio, Pilau Ladoda29 May 20150
Chande Abdallah na Deogratius Mongela KIMENUKA! Ikiwa ni siku moja tu kabla ya kufungw...Read more ?
- Makubwa! Bibi Harusi Atoweka Siku 4 Kabla ya Ndoa Yake28 May 20150
MTU mmoja aliyetambuliwa kwa jina la Juma Mwinyivue maarufu kama ‘Tabambwa’ (28) mkazi wa...Read more ?
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment
Post a Comment