Na Hamida Hassan/Ijumaa
Mtangazaji aliyewahi kuwa mpenzi wa mwanamuziki Nasibu Abdul, ‘Diamond’, Penniel Mungilwa ‘Penny’ ameibuka na kusema kuwa anashukuru amepata mchumba ila suala la ndoa siyo la leo wala kesho.
Akipiga stori na Ijumaa juzikati, Penny alisema wengi wamekuwa wakitaka kusikia suala la yeye kuolewa baada ya kubainika ana mchumba lakini mwenyewe anasema hajafikiria hilo la kuitwa mke kwa sasa.
“Kwenye hilo la kufunga ndoa naweza kusema bado niponipo sana, yapo mambo yangu ambayo lazima niyakamilishe kabla ya kuolewa, ndoa si mchezo, kujipanga ni muhimu,” alisema Penny.
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
Je Umezisoma Hizi?
- Kumbe ukimkwaza Kajala anaishia kulia? Mtoto wake anatumia simu?16 Apr 20150
Mwigizaji Kajala. Niliwahi kumuona msanii Kajala akitoa machozi kwenye Interview...Read more ?
- Elizabeth Olsen Cover-Up in Malibu21 Mar 20150
Elizabeth Olsen, the younger sister of the Olsen Twins, has hangin' on the beach in Malibu ...Read more ?
- Wasira Atoa Mpya 'Staili Yangu ya Koti Imenipa Umaarufu Hadi Naweza Pata Umaarufu'19 Mar 20150
Wassira Duh! Watu wanaona mbali sana asee...Mh. Stephen Wasira amesema ile picha aliyokosea kuf...Read more ?
- Makubwa!!!! Kondom Zatumika Kama Fasheni za Nywele08 Mar 20150
Kila kukicha kumekuwa na mambo mapya katika jamii inayotuzunguka na kutokana na utandawazi umet...Read more ?
- Staili Mpya ya Nywele ya Wema Sepetu yawa Gumzo Mtandaoni..Wengi Wamsifia Wachache Wasema Haya08 Mar 20150
Picha za Wema Mpya Alizoweka Jana kwenye Mtandao wa Instagram Akiwa arusha na Mashabiki ...Read more ?
- Haya wakaka je mnaweza vaa sweta hili alilovaa Kanye West na mkatoka nalo kutembea nje??????28 Feb 20150
The singer/designer pictured with his wife in this ripped and ruffled sweater that looked like an...Read more ?
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment
Post a Comment