March 16, 2025 03:48:42 PM Menu
 

Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Katibu Mtedaji wa Baraza la Mitihani la Taifa Dk Charles Msonde ametangaza matokeo ya mitihani ya Shule za Sekondari ya Kidato cha Nne ya mwaka jana na kusema, kiwango cha ufaulu kimeongezeka kwa asilimia 10 ikilinganishwa na matokeo ya mwaka 2013.



Akizitaja shule kumi bora kwa ufaulu, Dkt Msonde amesema shule hizo ni:

  • Kaizirege mkoa wa Kagera
  • Mwanza Alliance mkoa wa Mwanza
  • Marian Boys mkoa wa Pwani
  • St. Francis Girls mkoa wa Mbeya
  • Abbey mkoa wa Mtwara
  • Feza Girls mkoa wa Dar es salaam
  • Bethel sabs Girls mkoa wa Iringa
  • Marian Girls mkoa wa Pwani
  • Feza Boys mkoa wa Dar es laam.

  • Shule 10 za mwisho ni:
  • Manolo mkoa wa Tanga
  • Chokocho mkoa wa Pemba
  • Kwalugulu mkoa wa Tanga
  • Relini mkoa wa Dar es salaam
  • Mashindei mkoa wa Tanga
  • Njelekela Islamic Seminary mkoa wa Kigoma
  • Vudee mkoa wa Kilimanjaro
  • Mnazi mkoa wa Tanga
  • Ruhembe mkoa wa Morogoro
  • Magoma mkoa wa Tanga.

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro
15 Feb 2015

Post a Comment

 
Top