March 17, 2025 09:44:56 PM Menu
 

Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Kama mauzo yetu nje ni ‪#‎VPL‬,Azam ni Utalii,Yanga ni Viwanda,Mtibwa ni Dhahabu na Simba ni Kilimo (tena Pamba kwa namna inavyoporomoka)
Utalii umepanda kutoka $1.6bn mwaka 2012 mpaka $2bn mwaka 2014
Viwanda vimepanda kutoka $1.1bn mpaka $1.4bn
Dhahabu imeshuka kutoka $2.5bn mpaka $1.2bn
Pamba imeshuka kutoka $157m mpaka $54m
Wewe unashabikia timu gani hapa Bongo na Nje ya bongo?

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro
24 Feb 2015

Post a Comment

 
Top