Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Mwanadada matata Zarina Hassan 'Zarithebosslady', alitupia neno la kumtakia kila kheri mpenzi wake Diamond Platnumz katika shoo yake ya jana usiku. , Zari alitupia maneno hayo kwenye akaunti yake ya Intagram maneno yasemayo: Usiku huu nakutakia kila la kheri, nipo pamoja nawe kiroho...mahabbat hayo, lol!

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro
25 Jan 2015

Post a Comment

 
Top