Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Mr. Ofisa II
Picha zilizoenea kwenye mitandao ya kijamii Uturuki zikimuonyesha kiongozi wa Idara ya Huduma Vijijini akiwa amebebwa juu na wakulima ili kukwepa barafu zilimponza, ikaamriwa asimamishwe kazi.
Afisa huyo, Nedim Zunarci alionekana amebebwa na wakulima hao katika Jimbo la Manisa wakati akikagua athari zilizosababishwa na barafu aliyoanguka kutokana na baridi kali, akahofia viatu vyake vitaharibika kutokana na barafu hiyo, hivyo akabebwa na wakulima hao.
Meya wa Manisa, Cengiz Ergun alisema kitendo hicho hakiendani na utaratibu wa kazi wala maadili, pia hakionyeshi uhusiano mzuri kati ya viongozi na jamii.
Mr. Ofisa
Comments za watu kwenye mitandao ya kijamii Uturuki walionekana kukosoa pia kitendo hicho baada ya picha hiyo kuzagaa.

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top