Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Nick_Minaj

Hitmaker wa ‘Anaconda‘ Nick Minaj ameamua kuweka wazi sababu ya kuamua kutoa mimba wakati akiwa binti wa miaka 16 na kusema maamuzi hayo yaliuvunja moyo wake.

“Nilijua ningekufa baada ya kufanya vile“…Wakati huo nilikua bado binti mdogo,nilikua na wakati mgumu sana ambao sijawahi kukutana nao tena,”anasema Nick Minaj alipokua akizungumza na jarida la Rolling stone.

Kwa mujinu wa jarida hilo liliandika kuwa mtu aliyempa mimba alikua ni mzee ambaye alikua na mahusiano naye wakati bado akisoma katika chuo cha mafunzo ya muziki na sanaa cha Manhattan’s Fiorello H. LaGuardia High School of Music & Art.

“Sikua tayari kubeba ujauzito kwa wakati huo na haikua chaguo langu kwani sikuwa na chochote cha kumpa mwanangu…najua wengi hawatapenda hiki ninachoongea,”alisema.

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top