Nchini marekani huwa hakuishi vituko hasa miongoni mwa wasanii ambao siku zote wamekuwa wakipenda kuzungumzwa kwenye vyombo vya habari huku ikiaminika kuwa kuzungumzwa sana ndio hasa kinachowaongezea umaarufu.
Hali hii imeonekana wazi baada ya rapa asiyejulikana sana Kevin Gates kukiri kufanya mapenzi na msichana ambaye amekuja kugundua kuwa ni ndugu yake wa damu .
Kevin Gates akitumia ukurasa wake binafsi wa mtandao wa kijamii wa Instagram alikiri kufanya mapenzi na ndugu yake wa damu baada ya kuthibitishiwa na bibi yake na pamoja na kugundua hivyo rapa huyo amesema kuwa hana mpango wa kuachana na binti huyo na uhusiano uliopo baina yao utaendelea.
Msaniii huyu wa muziki wa Hip-Hop amekiri kuwa na uhusiano wa kimapenzi na ndugu yake wa damu.
Gates alipost video ambayo alikiri kuwa na uhusiano na binti ambaye baadaye alikuja kuambiwa kuwa ni ndugu yake , na maneno yalikuwa haya …
’siwezi kumuacha msichana huyu kwani ananiridhisha kimapenzi na hata kama ni ndugu mimi sikukua pamoja na yeye tumekutana ukubwani tu na siwezi kumuacha hata kama ni ndugu yangu wa damu siwezi kuzuia kitu kizuri kinachoendelea kati yetu’..Alisema rapa huyo.
Gates amesema kuwa hatasitisha uhusiano wake na binamu yake kwani haoni tatizo lolote
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
Je Umezisoma Hizi?
- Mwanaume aliyejirusha kutoka juu ya ghorofa la Mabirizi Complex katika jiji la Kampala amefariki dunia.07 Sep 20160
Mwanaume aliyejirusha kutoka juu ya ghorofa la Mabirizi Complex katika jiji la Kampala amefariki ...Read more ?
- Housegirl mwingine kanaswa kwenye kamera Kenya kama yule wa Uganda, icheki video ya tukio18 Apr 20150
Mwaka jana kuna tukio lililoshtua wengi duniani na kuzungumziwa sana kwenye vyombo vya habari ku...Read more ?
- Chama cha Bloggers Tanzania (Tanzania Bloggers Network-TBN) Champelekea Ujumbee Huu Kikwete03 Apr 20150
TAARIFA KWA UMMA YA TBN KUMUOMBA MH. RAIS JAKAYA MRISHO KIKWETE ASIPITISHE MUSWADA WA SHERIA...Read more ?
- Picha: Safari ya mwisho ya Boss wa Tip Top Connection Abdul Bonge ilivyokuwa kutoka Dar es Salaam kwenda Morogoro30 Mar 20150
Mwili wa Abdul Bonge ukifikishwa nyumbani kutokea Muhimbili tayari kwa kusafirishwa. &n...Read more ?
- Milipuko Misikitini Watu Zaidi ya 126 Wauawa Nchini Yemen20 Mar 20150
Baadhi ya jamii za watu waliofariki ndani ya msikiti baada ya milipuko Yemen Zaidi ya watu 1...Read more ?
- Hiki ndicho alichoandika Mary Nyerere, mtoto wa mama Maria Nyerere baada ya mama yake kuzushiwa kifo09 Mar 20150
Hiki ndicho alichoandika Mary Nyerere, mtoto wa mama Maria Nyerere baada ya mama yake kuzushiwa ...Read more ?
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment
Post a Comment