STAA wa filamu za Kibongo, Shamsa Ford amesema kuwa mara kadhaa anapokuwa lokesheni akishuti filamu mume wake, Dickson Matoke huwa anamfuata na kulala naye hadi asubuhi huku akiamini kufanya hivyo kunachangia kutochepuka.
Akizungumza na Uwazi, Shamsa alisema kuwa kitendo cha mumewe kumfuata haina maana kwamba wanavunja sheria zao bali hilo analifanya kwa kuwa yeye ni mke wa mtu na huwa anapewa chumba chake maalum.
“Mara nyingi ninapokuwa lokesheni kama si mbali na nyumbani basi naenda kumuona mume wangu na mtoto lakini kama ni mbali kidogo mume wangu huwa anakuja na kulala na mimi chumbani kwangu, asubuhi anaondoka naendelea na kazi yangu,” alisema Shamsa.
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
Je Umezisoma Hizi?
- Maneno ya Batuli Kuhusiana na Moto Uliyo Teketeza Nyumba yake Jana Akiwa Kwenye Uzinduzi wa Kampeni CCM24 Aug 20150
Staa wa Bongo movie Batuli, leo amepatwa na ajali ya kuungulia nyumba yake kwa moto wakati akiw...Read more ?
- Baba Haji Ashangilia Anguko La Wema Sepetu..Afurahia Wema Sepetu Kushika Nafasi ya Mwisho31 Jul 20150
STAA wa filamu Bongo, Adam Haji ‘Baba Haji’ juzikati aliangusha sebene la nguvu kwenye Viwanja ...Read more ?
- Nora Awananga Wanaodai Ameshazeeka..Adai yeye Ajagalagazwa Ovya Kama Hao Wengine wa Bongo Movies.....31 Jul 20150
Nora Bongo Movies Kupitia ukurasa wake kwenye mtandao picha wa Instagram, mkali wa sanaa ya uig...Read more ?
- Mapenzi Yamtokea PUANI Davina24 Jul 20150
Staa wa Filamu za Kibongo, Halima Yahaya amedaiwa kutoswa na mwanaume aliyemuachanisha na mumewe...Read more ?
- Batuli kufuata nyayo za Kanumba, ajipanga kuandaa filamu yenye bajeti kubwa24 Jul 20150
Msanii wa filamu nchini, Yobnesh Yussuf maarufu kama Batuli amesema mashabiki wake wa filamu was...Read more ?
- Nora: Bongo Movie Wamesharibu Sanaa ya Uigizaji Tanzania...Huwezi Kaa na Wazazi Wako Ukaangalia Movie Wataharibu Hali ya Hewa tu20 Jun 20150
MWIGIZAJI mkongwe Bongo, Nuru Nassoro ‘Nora’ amedai kuwa ‘Bongo Movies’ wameharibu sanaa ya ...Read more ?
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment
Post a Comment