JENGO moja llililopo eneo la Mji Mkongwe, Zanzibar limeporomoka na kujeruhi watu kadhaa leo majira ya saa tano asubuhi. Idadi kamili ya majeruhi katika ajali hiyo bado haijafahamika.
~GPL
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
Tanzania Entertainment News,Politics News ,Celebrity Gossip and Live Updates
Post a Comment
Post a Comment