March 19, 2025 09:05:32 PM Menu
 

Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Swali lililokuwepo kuhusu mjengo wa kifahari ambao mshindi wa BBA Hotshots, Idris Sultan ni kama amenunua au amepewa, na tayari mshindi huyo wa $300,000 za Biggy ametoa jibu.

Idris amesema mjengo huo ni wa kwake, na ni zawadi kutoka kwa aliyekuwa boss wake:

Sasa hivi nina status flani kwahiyo natakiwa kujiweka vizuri kwasababu ni kioo cha jamii honestly I need to have a good house, Alikuwa boss wangu ni mwenye kampuni ya Alosco, niko nae karibu, amenipa, amenipa ina kama muda, nahamia huko Jumapili.” Amesema Idris kupitia 255 ya XXL ya Cl;ouds Fm.

Idris alipost Instagram picha ya nyumba hiyo iliyoko Mbezi na kumshukuru mtu aliyempa aitwaye Ghalib Said Mohammed ambaye alikuwa ni boss wake.
Idriss Sultam BBA Winner 2014

I have seen thousands of people through my life time, got helped and expected to do alot in return, broken and crushed with no one to pick me up. I have struggled from ground level with all sorts of sayings like “you will never make it” to where i am now. I have shaken millions of hands not knowing who has good intentions with me. The world is for everyone who has a dream and a good will to it. The world is for all who want to change lives and make people smile. The world full of good hearted people is a dream. I stand today and say “my name is Idris Sultan and am not that special, that unique, that strong than most of you. I just dared to go for what i want, put my heart to it and here i am today. This is just the beginning. You’re welcome to join.” Ghalib Said Mohammed you’re a man with a golden heart i will love to be like you in a blink of an eye. Thank you for my new house. #Godbless #Alhamdulillah #GSM #dream #achieve #dare #youCan #success

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro
23 Jan 2015

Post a Comment

 
Top