Picha hizi za muigizaji Wastara Jumaakiwa hospitali
chanzo chetu makini kilitualifu kuwa Wastara alitoka nyumbani kwake asubuhi na kuelekea Hospitali ya TMJ Mikocheni.
Wastara akiwa anachukuliwa damu kwa ajili ya vipimo
Alikuwa na tatizo arrage alitokwa na madoa doa mwilini ikamlazimu kwenda hospitali ambapo baada ya vipimo alichomwa sindano na kupumzishwa ambapo aliruhusiwa majari ya saa 12 jioni.
Mtandao huu unamtakia afya njema.
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro







Post a Comment
Post a Comment