March 17, 2025 02:11:21 AM Menu
 

Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This

Gari aina ya Toyota VX likiwaka moto baada ya kuchomwa na wananchi mchana leo Bunju B jijini Dar kwa kusababisha ajali na kuuwa madereva watatu wa bodaboda...Shuhuda wa Ajali hiyo Amehabarisha kuwa VX ilikuwa katika Mwendo mkali sana Dereva alijaribu kulipita gari la Mbele bila kuwa makini na kujikuta anakutana na Boda bado iliyokuwa imebeba watu watatu (Mshikaki) na Kuwagonga na wote Kufariki Hapo Hapo , Dereva wa XV Hakusimama Japo Tairi la Mbele lilikuwa nimepasuka, Baada ya mwendo kama mita mia sita alisimama na kupaki pembeni na kisha yeye na Abiria aliyekuwa naye kuchukua piki piki na kukimbilia Polisi...Wananchi wenye Hasira walikuta Gari tupu na Kuamua Kulichoma Moto ..
Gari aina ya Toyota VX likiwaka moto baada ya kuchomwa na wananchi mchana leo Bunju B jijini Dar kwa kusababisha ajali na kuuwa madereva watatu wa bodaboda.
Wananchi wakiwa eneo la tukio baada ya gari aina ya Toyota VX imeua madereva watatu wa bodaboda mchana leo.
>>GPL 

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro
12 Dec 2014

Post a Comment

 
Top