Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
.

Wiki kadhaa zimepita tangu staa wa kike wa Bongo movie, Jacqueline Wolper aamue kujichora tatoo mpya kwenye mkono wake good news ni kwamba kuna staa mwingine waBongo fleva ameingia kwenye headline baada ya kuchora tatoo.
Hitmaker wa single ya Kizunguzungu,Rachel kupitia instagram ameweka video yenyesekunde 15 ambazo zikimuonesha akichorwa tatoo mpya mkono huko London ambako alienda kwaajili ya show yake.
bonyeza hapa
Itazame hapa

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top