March 28, 2025 08:55:00 PM Menu
 

Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Timu ya SIMBA imeibuka na ushindi baada ya kuichapa timu ya YANGA bao 2 huku timu ya Yanga wakiambulia kuondoka na maumivu ya kushindwa kufurukuta kwa bao hata moja.

Wafungaji wa magoli kutoka timu ya Simba ni Awadh Juma na Elias Maguri ambapo mabao yote yamefungwa katika kipindi cha kwanza.

Kwa mara ya pili tena timu ya SIMBA wamefanikiwa kuibuka na ushindi wa Nani Mtani Jembe baada ya kutwaa ubingwa huo mwaka jana walipoichapa Yanga bao 3 -1.

Kwa upande wa zawadi Simba wamefanikiwa kutwaa milioni 92 na laki kadhaaa huku Yanga wakiondoka milioni 7 na laki kadhaaa.

Mashabiki wa Simba waliojaza kwenye dimba la uwanja wa taifa 
Umati wa wana jangwani leo taifa
Picha SUFIAN MAFOTO

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro
13 Dec 2014

Post a Comment

 
Top