Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This

Muigizaji wa filamu nchini, Vicent ‘Ray’ Kigosi amedai kushangazwa na watu wenye uwezo mkubwa lakini bado kwenye harusi zao wanachangisha michango.

Akizungumza kwenye kipindi cha Boys Boys cha TV1, Ray ameshauri ni bora kujipanga kabla ya kuoa kuliko kuwasumbua watu na kadi za michango.

“Sio mtu unawapa watu mizigo isiyo ya kwao,” alisema.
  
 “Kama una uwezo fanya mwenyewe, kwa sababu katika maisha tunaambiwa kuna vitu vitatu, kuzaliwa, harusi na mwisho kifo! Sasa kama una uwezo, fanya kitu kikubwa zaidi katika maisha yako, lakini sio michango nikikutana na meseji ya mchango, hata kupokea simu inakuwa shida,”
Ungana nasi katika Facebook na Umechekeshwa

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro
14 Dec 2014

Post a Comment

 
Top