June 8, 2025 07:55:58 PM Menu
 

Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This


Mpenzi wa zamani wa Ray J aliyetishia kujiua Jumatano hii anadaiwa kutaka kuchukua uamuzi huo baada ya kugundua kuwa mpenzi wake ana ukaribu na Karrueche Tran, kwa mujibu wa TMZ.
princess2
Msichana huyo aitwaye Princess Love alimpigia simu Ray akitishia kujiua. Muda mfupi alimpigia tena simu Ray na kumwambia ameahirisha kufanya hivyo.
TMZ iliandika kuwa Ray alimpiga chini mpenzi wake baada ya ugomvi.
1210-jay-j-and-princess-love-tmz-5

Mtandao huo umesema baada ya hapo Ray alienda kushoot kipindi cha New Year’s Eve special cha BET. Karrueche naye alikuwepo na walikuwa pamoja hadi saa kumi usiku.

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro
12 Dec 2014

Post a Comment

 
Top