Kama hukusikiliza Hekaheka ya leo Jumanne ya Desemba 9 kupitia Clouds FM kwenye Leo Tena, inahusu Waumini wa Kanisa la TAG Bukoba kumkataa Mchungaji mpya aliyeletwa Kanisani hapo kwa madai ya kumtaka Mchungaji aliyehamishwa na kupekwa sehemu nyingine arejeshwe.
Baada ya Waumini kumaliza Kuabudu kwa Nyimbo Mchungaji huyo Pius Alphonce aliinuka na kuanza Kuhubiri ndipo baadhi ya Waumini walipoamka na kusema kuwa hawawezi kuendelea na Mahubiri kutokana na watu wachache wanaotaka kulivunja Kanisa hilo kwa maslahi yao binafsi, hivyo kutaka Mchungaji wa zamani Erius Manoti aliyehamishiwa Karagwe arejeshwe.
Hali hiyo ilipelekea mahubiri hayo kusimama na kuzuka fujo na kusababisha ibada hiyo kuahirishwa.
Bonyeza play kusikiliza.
Credit: Millardayo
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
Je Umezisoma Hizi?
- Utata wa picha za utupu za msichana huyu kwenye mitandao sasa zamtokea puani26 Mar 20150
Kama ni mpenzi wa Hekaheka nakusogezea hii iliyosikika leo mtu wangu, inatoka Shinyanga ambapo k...Read more ?
- Ukatili: Hekaheka ya leo, mama alimmwagia mtoto wake maji ya moto04 Feb 20150
Nimekuwekea Hekaheka ya leo February 04, inatokea Buguruni Dar inahusu mama ambaye amekuwa na ta...Read more ?
- Hekaheka ya leo inamhusu msichana aliyepelekwa Oman kufanya kazi za ndani.19 Jan 20151
Kwenye Hekaheka ya leo Jan 19 inatokea Dar inamhusu Binti mmoja aliyepelekwa Oman na mtu aliyemf...Read more ?
- Hekaheka, Inahusu mwanaume aliyechoma moto nguo za mke wake na watoto13 Jan 20150
Kama ulipitwa na Hekaheka ya leo January 13 inatokea maeneo ya Kimara Dar, inahusu mw...Read more ?
- Hekaheka ya leo, Inamhusu Mama anayejisaidia kwenye ndoo! story iko hapa08 Jan 20150
Hekaheka ya leo Jan8, inatokea huko Shinyanga, ambapo watu wanaishi nyumba moja wamemla...Read more ?
- Hekaheka Nesi Aliruhusu Mtoto Aliyezaliwa Kuzikwa Kumbe Alikuwa Hai..Story iko hapa06 Jan 20150
Mama mmoja mjamzito alikwenda Hospitali ya Mkoa Morogoro siku ya jana, alipofika hospitali hapo ha...Read more ?
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post a Comment
Post a Comment