March 19, 2025 05:19:58 PM Menu
 

Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This

chruch-lane_1450480c
Kama hukusikiliza Hekaheka ya leo Jumanne ya Desemba 9 kupitia Clouds FM kwenye Leo Tena, inahusu Waumini wa Kanisa la TAG Bukoba kumkataa Mchungaji mpya aliyeletwa Kanisani hapo  kwa madai ya kumtaka Mchungaji aliyehamishwa na kupekwa sehemu nyingine arejeshwe.
Baada ya Waumini kumaliza Kuabudu kwa Nyimbo Mchungaji  huyo  Pius Alphonce aliinuka na kuanza  Kuhubiri ndipo baadhi ya Waumini walipoamka na kusema kuwa hawawezi kuendelea na Mahubiri kutokana na watu wachache wanaotaka kulivunja Kanisa hilo kwa maslahi yao binafsi, hivyo kutaka  Mchungaji wa zamani Erius Manoti aliyehamishiwa Karagwe arejeshwe.
Hali hiyo ilipelekea mahubiri hayo kusimama na kuzuka fujo na kusababisha ibada hiyo kuahirishwa.

Bonyeza play kusikiliza. 

Credit: Millardayo


Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro
09 Dec 2014

Post a Comment

 
Top