Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This


Kupitia mtandao wa Instagram Mkali wa Nyimbo ya Number One na pia Ntampata wapi, Diamond Platnumz ameandika ujumbe mzito ambao mashabaki wengi wanadhani ni ujumbe kwenda kwa mpenzi wake wa zamani Beautiful Onyinye, Wema Sepetu licha ya kwamba mkali huyo alikua anampa promo msanii shilole kwani hata picha ilikua inajieleza.




Kuachana kwa Diamond na Wema kumetengeneza makundi tofauti tofauti kwenye mitandao ya Kijamii kiasi yakwamba wawili hao wakiandika chochote basi hudhaniwa/huchukuliwa kama kijembe.

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top