
Kamati ya Miss Tanzania leo inatarajiwa kuelezea ukweli juu ya sakata la kudanganya umri la mshindi wa taji hilo mwaka huu, Sitti Mtemvu.
Unaweza Soma : HAA! MBOWE SOMA ALICHOKIFANYA MHE.FREMAN MBOWE
Unaweza Soma : HAA! MBOWE SOMA ALICHOKIFANYA MHE.FREMAN MBOWE
Mratibu wa shindano hilo Hashim Lundenga amesema kamati yake itaelelezea taarifa ambazo walikuwa nazo kuhusiana na mrembo huyo na matokeo ya uchunguzi baada ya taarifa nyingi zilizoibuka.
Unaweza soma : Msanii YP wa TMK Wanaume Family Afariki Dunia
Unaweza soma : Msanii YP wa TMK Wanaume Family Afariki Dunia
"Yamesemwa mengi na yameandikwa mengi, hivyo leo itajulikana kama atavuliwa taji ama la" maneno hayo amesema Lundenga
Unaweza Soma : INASIKITISHA BI HARUSI ATOROSHWA , MAMA MZAZI AHAHA!
Je, wewe mtazamo wako ni upi, unapenda abaki na taji au avuliwe?
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro







Post a Comment
Post a Comment