Good News ni kwamba sasa hivi yuko nchini Marekani ambako ameenda kushoot video wa wimbo mpya ‘Going Down’ aliowashirikisha Ms Triniti & Lamyia,ikiwemo na ile collabo aliyofanya na msanii wa Marekani mwenye asili ya jamaica ‘Sean Kingston
Kupitia ukurasa wake instagram hitmaker huyo wa single ‘Adela’ ameshare picha akiwa huko Marekani katika utengenezaji wa video hizo mbili kuandika
‘Bongo Flava we’ve arrived to Hollywood Hills…I’ll tell u later what m doin here with@seankingston#TANZANIA #Jamaica

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro













Post a Comment
Post a Comment