Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta amesema yuko radhi kwenda katika mahakama ya kimataifa ya ICC kwa kikao maalum kuhusu kesi inayomkabili.
Kenyatta ametakiwa na majaji wa mahakama hiyo kufika ICC tarehe 8 mwezi huu.
Taarifa zaidi inakujia hivu punde

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro
06 Oct 2014

Post a Comment

 
Top