Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Mwakilishi wa Msumbiji, Mira na wa Zambia, Resa wamekuwa washiriki wa kwanza kutolewa kwenye shindano la Big Brother Africa – Hotshots.


Mira-Resa-1200x930-1413182183


Resa na Mira walipata kura chache zaidi.Wasanii waliotumbuiza kwenye eviction show ya kwanza ni Olamide na Phyno wa Nigeria.
Tanzania inawakilishwa na Idris Sultan na Laveda.

Bonyeza Hapa

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top