Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This

Baada ya siku ya eviction kupita, washiriki waliosalia kwenye shindano la Big Brother Africa wamerudi kwenye maisha yao ya kawaida ndani ya mjengo. Idris wa Tanzania na Ellah wa Uganda waliamua kuliwazana kwa massage na kulala wakikumbatiana. Watazame. kama ifaa chako hakina uwezo bonyeza hapa

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top