
Sakata la Miss Tanzania 2014 Sitti Mtemvu kudaiwa Baada ya issue ya Miss
Tanzania 2014 Sitti Mtevu kuendelea kuchukua sura mpya kila inapoitwa
leo kwenye Blogs,Facebook na hata Instagram sasa Baraza la Sanaa Taifa
(Basata) limesema litamvua taji hilo mrembo Sitti Mtemve endapo
itabaanika kuwa alidanganyo umri wake ili kuweza kushiriki katika
mashindamo hayo
Maneno hayo yalizungumzwa na Katibu Mkuu wa Basata Geoffrey Mwingereza alipokuwa akizungumza na gazeti la nipashe aliujuza uuma kuwa wanafanya uchunguzi na pindi utakapo kamilika wakibaini kuna udanganyifu basi mrembo huyo atalivua taji hilo.
Pia gazeti la nipashe lilijaribu kumuhoji waziri wa mwenye thamana ambaye ni Naibu Waziri wa Wizara ya Michezo, Juma Mkamia ambaye yupo nje kwa ziara za kikazi na alijibu kama ifuatavyo
Maneno hayo yalizungumzwa na Katibu Mkuu wa Basata Geoffrey Mwingereza alipokuwa akizungumza na gazeti la nipashe aliujuza uuma kuwa wanafanya uchunguzi na pindi utakapo kamilika wakibaini kuna udanganyifu basi mrembo huyo atalivua taji hilo.
Pia gazeti la nipashe lilijaribu kumuhoji waziri wa mwenye thamana ambaye ni Naibu Waziri wa Wizara ya Michezo, Juma Mkamia ambaye yupo nje kwa ziara za kikazi na alijibu kama ifuatavyo
“Siwezi kukuambia hatua
gani zitachuliwa, ila kesho, (leo) tutakuwa na kikao , serekali haiwezi
kukaa kimya , kuna vyombo vyake vinalifanyia kazi,”
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro







Post a Comment
Post a Comment