Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This

Mbunge wa Temeke, Abbas Mtemvu amedai kwamba sakata la binti yake, Sitti Mtemvu, kudaiwa kuchakachua umri linachochewa na wapinzani wake wa kisiasa ndani ya CCM. Mtemvu alisema hayo wakati alipokuwa anamtetea binti yake ambaye amedanganya umri ili aweze kushiriki mashindano ya Miss Tanzania. Binti yake huyo anadaiwa kuwa kijeba lakini aligushi cheti cha kuzaliwa ili kupunguza umri uliomwezesha kushiriki mashindano ya u-miss.



Chanzo: Clouds Radio

MAONI YANGU
Waliozoea kuishi kwa uongo ukweli hawauwezi - Tundu Lissu.

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top