Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Kamati kuu ya #SerengetiFiesta2014 inawataarifu wakazi wa Mtwara na Kigoma kwamba tamasha la Serengeti Fiesta lililokuwa lifanyike wikiendi hii kwa mikoa hiyo limesogezwa mbele na tarehe za lini litafanyika zitatangazwa katika siku za usoni. 

Kamati inaomba radhi kwa usumbufu uliojitokeza

Kibonajoro.com ndio mtandao wako kwa habari za kitaifa/kimataifa, burudani, michezo, udaku na siasa, Tuwe pamoja huku pia >> Facebook , Twitter

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top