Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Ugonjwa wa Ebola ni tishio kwa kila mtu kwa sasa duniani ndio maana muimbaji wa Marekani Ariana Grande, 21, ameamua kusitisha safari ya Hispania.

Ariana-Grande-image-ariana-grande-36138225-1024-768
Kutokana na hofu hiyo, mrembo huyo aliamua kuelekea Paris na Hispania ataenda hadi mwezi ujao.

Hadi sasa kumekuwepo na kesi nne za Ebola nchini Hispania ambapo hata hivyo wagonjwa wote hawakukutwa na virusi hivyo.

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top