Ugonjwa wa Ebola ni tishio kwa kila mtu kwa sasa duniani ndio maana muimbaji wa Marekani Ariana Grande, 21, ameamua kusitisha safari ya Hispania.

Kutokana na hofu hiyo, mrembo huyo aliamua kuelekea Paris na Hispania ataenda hadi mwezi ujao.
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro







Post a Comment
Post a Comment