Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Siku washiriki wa BBA Hotshots wanatambulishwa, mwakilishi wa Tanzania, Idris Sultan alimwambia mtangazaji IK kuwa cheche zake zipo kwenye masuala ya wanawake. Huenda sasa shughuli imeanza.

10702146_833956386625236_6706908967660485281_n
Idris aliamua kuwa na dinner ya pamoja na mwakilishi wa Botswana, Goitse, thanks kwa housemates waliompa nafasi hiyo. Nhlanhla na JJ walisaidia kupika chakula kuhakikisha kuwa wawili hao wanakuwa na mtoko aka date utakaowafurahisha.
Wakati wote wa dinner, Ellah, Sabina, M’am Bea na Luis walishiriki sehemu yao ya kuwahudumia chakula. Idris alimuuliza Goitse maswali kutaka kumfahamu zaidi na kumuuliza kama anaamini katika uhusiano wa mbali, long-distance relationships.
Idris alikuwa anaelekea kuzalisha uhusiano wa kimapenzi ndani ya nyumba? Goitse, hata hivyo alionesha kuvutiwa zaidi na urafiki zaidi.

Bonyeza Hapa
Mhh! Tunaweza kupata shemeji/wifi mwingine kutoka Botswana baada ya O’Neal na Feza Kessy mwaka jana? Hilo litawezekana kama tutamuokoa Idris kwenye hatari ya kutoka wiki hii. Tuma neno Idris kwenda 15426.

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top