April 5, 2025 10:05:46 PM Menu
 

Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Kituo cha redio cha huko Houston, Marekani kimewafukuza wafanyakazi wake wote 47 na kuamua kucheza nyimbo za Beyonce 24/7.
Beyonce-GQ-2013-beyonce-33279218-1280-960
News92 ilikuwa ni redio kwaajili ya habari peke yake. Uamuzi wa kubadilisha malengo ya kituo hicho umetokana na kituo hicho kukosa wasikilizaji. Uongozi unaamini kuwa kwa kupiga nyimbo za Beyonce wasikilizaji watavutiwa na kuiokoa redio hiyo iliyopo kwenye mawe.
Kituo hicho kitaendelea kucheza nyimbo za Beyonce kwa saa 24 hadi pale itakapotangaza muelekeo wake mpya.

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro
10 Oct 2014

Post a Comment

 
Top