Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Majina ya wasanii wa Afrika watakaowania tuzo za MTV Europe, MTVEMA yametangazwa na Diamond ni miongoni mwa wasanii watakaowania tuzo hizo zitakazotolewa November 9 jijini Glasgow, Scotland. Diamond atachuana na Davido, Toofan wa Togo na Goldfish wa Afrika Kusini. Kwa mara nyingine tena Davido anachuana na Diamond kwenye tuzo kubwa baada ya ile BET Awards […]



Diamond Platinumz ni mmoja ya watu waliochaguliwa kugombania tuzo za  MTV EMA Awards-Best African Act.
Msimu wa MTV EMA season is umewajia. Anbapo wasanii wanne wa kwanza wataogombania tuzo hizi kwenye category Best African Act ni  Davido(Nigeria), Goldfish (South Africa), Diamond(Tanzania) na  Toofan (Togo)

Pia, kwa mara ya kwanza , MTV imeweka upigaji kura mikononi mwa mashabiki kupitia mitandao ya kijamii kwahiyo wapenzi wa muziki popote  wanauwezo wa kuongeza mtu wa tano kwenye category hii ya Best African Act. Mashabiki wanaweza ku- tweet na kupigia kura  list hii ya wasanii ambapo mmoja wao ataongezwa kama msanii wa tano. Ukitaka kumuongeza msanii unatumia  hashtag #MTVEMAplus ambapo wasanii waliochaguliwa ni
Anselmo Ralph – #NominateAnselmoRalph
Gangs of Ballet – #NominateGangsOfBallet
Mafikizolo – #NominateMafikizolo
Sarkodie – #NominateSarkodie
Sauti Sol – #NominateSautiSol
Tiwa Savage – #NominateTiwaSavage
Huu ni mwaka wa tano MTV imeweka kipengele cha  Best African Act  kwenye tuzo za ulaya   – washindi waliopita ni 2Face[2005], Freshlyground [2006], D’Banj [2007 & 2012] and LCNVL [2013].
“2014 MTV EMA” itaonyeshwa  LIVE kwenye kituo cha  MTV siku ya jumapili tarehr  9 mwezi wa kumi ambapo itafanyika  The Hydro jiji la Glasgow, Scotland .

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top