Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Habari iliyotufikia hivi punde Moto umezuka katika msikiti wa Mtambani kinondoni jijini Dar es Salaam na chanzo cha  Moto huo  mkubwa unaoendelea kuwaka katika majengo yaliyopo msikiti wa Mtambani Kinondoni inasemekana ni hitilafu ya umeme. Hii ni mara ya pili kwa msikiti huo kuungua kwa moto Agosti 13 mwaka huu.
endelea kuwa nasii kwa habari kamili

 

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top