Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
KUMRADHI:
Wapenzi, wanachama, washabiki na wadau wa soka kwa ujumla,
Mechi kati ya Young Africans dhidi ya Big Bullets iliyokua ifanyike leo haitakuwepo.
Kwa mujibu wa waandaji wa mchezo huo DRFA timu ya Big Bullets imeshindwa kuwasili nchini, na jitihada za kupata timu nyingine imeshindikana.
Tunawaomba radhi kwa usumbufu wote ambao umejitokeza.
Daima Mbele Nyuma Mwiko
Bonyeza Hapa

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top