Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Geita Tanzania; Nimepokea taarifa kutoka Mkoani Geita kwamba usiku wa leo majira ya saa 9 watu wanaosadikiwa kuwa ni majambazi wamevamia kituo cha polisi cha wilaya ya Bukombe na kuua askari wawili  na kumjeruhi mmoja, 



Baada ya majambazi hayo kuwashambulia polisi na kuua, waliuvunja ghala la silaha, Wamepora silaha amabazo idadi zake hazijafahamika mpaka sasa.

Endelea kufuatilia hapa hapa...

Bonyeza Hapa

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top