Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This


 Kikosi cha timu ya Wabunge mashabiki wa Yanga kikiwa katika picha ya pamoja kabla ya mchezo wao na Wabunge mashabiki wa Simba. 
Beki wa timu ya Wabunge wa Simba, Wiliam Ngeleja akichuana na mshambuliaji wa Wabunge wa Yanga, Mwigulu Nchemba.
Mshambuliaji wa timu ya Wabunge mashabiki wa Yanga, Ridhiwan
Kikwete (kushoto), akimtoka beki wa timu ya Wabunge mashabiki wa Simba, Adam Malima katika mchezo wa Matumaini uliofanyika kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.
 Mashabiki wakifuatilia mchezo huo.
Mashabiki wakifuatilia mtanange huo .
Ridhiwan Kikwete akishangilia ushindi wa Yanga dhidi ya Simba
Mwigulu Nchemba akiwarushia skafu yake mashabiki wa Yanga .


Hekaheka wakati wa mtanange huo.
Mbunge wa Jimbo la Chalinze ambaye ni shabiki wa Yanga , Ridhiwan Kikwete akivua jezi yake kwa ajili ya mashabiki mara baada ya ushindi wa timu yake wa mabao 3 - 2 dhidi ya Simba leo .
Naibu Waziri wa Fedha , Mwigulu Nchemba akishangilia na shabiki wake baada ya ushindi wa Yanga
 UKIONA TUKIO LOLOTE LINATOKEA USISITE KUTUTUMIA PICHA KUPITIA WHATSAPP 0712-483 331 

kama huja like ukurasa wetu wa facebook fanya hivi sasa ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapoweka kwenye mtandao huu bonyza hapa 

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top