Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This




Picha ya Recho iliyomfanya ashambuliwe!
Muimbaji wa ‘Kizunguzungu’ Racho amejikuta katika wakati mgumu na kushambuliwa Instagram baada ya kuweka picha ya mitego. 
Recho ambaye kwa sasa amewataka mashabiki wake kumuita ‘Recho Mapenzi’ aliweka picha instagram ikiwa na ujumbe “Studio..muda wa kushambuliwa. kazi” na kuvutia comments nyingi za kumponda!
Angalia baadhi ya comments hizo: 
wengne bhana ndo kutafta umaarufu kunuka kwa vicky_greenapple2 Kukaa mapaja waz hivyo ndo nini sasa…watu
Jamanii kibukta ichoo sio chupii sema kimepanda nguv au…ur such a lady respect ur kabinti_eyez
Acha kujishushoa hathi.Amna atakae kufagilia tuu..ila dada anguu usirudie tenah sio vizuriii mwil ni hekalu la munguuu Muktarishafii57
mmmnhh….umenyambwa haswaa cyo kwa ujinga huo nimekutharau xana. Zayyadamnyeke Ungetoa tuu mwayaa mana kidogo..polee lakn @rachellkizunguzungu 1d
na we ushawehuka, ndio maana mnamegwa Hyasinta14 Wasanii kwa kuiga upumbavi hivi huo mwili unamwachia nani labda , zamani hukuwa hivyo mnatemwa,puuuh
biashara matangazooo…sorry ushapata wateja Chugagirl4real Hivi kweli akili yako ipo sawa? Ukapost kabisa ujinga huu eti upo studio ..mmmmh kweli
Elianotariq_daznundaz wangapi kwanzia umepost hii picha?falaaaaa WWW@Rachellkizunguzungu mfyuuuuuu…. nimekushusha mpaka miguuuni
zimewajaa Fatilieni yenu jamanii mbona hivyo,nyie wenye mapaja si mngepiga na nyie picha tuone,fanyeni yenu,coment za kandia hazipendezi…husda tuu
-Bongo5

  • Bonyeza Hapa

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top