Hili
ni basi la kampuni ya 5 Aliance ambalo linafanya safari zake kati ya
Mtwara na Dar es salaam limeungua asubuhi ya August 09 likitokea Mtwara
kuelekea Dar es salaam.
Taarifa
ya awali inasema kuwa hakuna abiria aliyepata madhara yoyote juu ya
kuungua kwa basi hili ambalo limeteketea kijiji cha Mihambwe mkoa wa
Lindi.
>>>>>>Picha na Millardayo
UKIONA TUKIO LOLOTE LINATOKEA USISITE KUTUTUMIA PICHA KUPITIA WHATSAPP 0712-483 331
kama huja like ukurasa wetu wa facebook fanya hivi sasa ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapoweka kwenye mtandao huu bonyza hapa
kama huja like ukurasa wetu wa facebook fanya hivi sasa ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapoweka kwenye mtandao huu bonyza hapa
Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro










Post a Comment
Post a Comment