Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This



Dereva ambaye alikuwa akiendesha basi linalowabeba wachezaji wa Yanga, Maulid Kiula, amefariki dunia.
Kiula amefariki dunia usiku wa kuamkia leo baada ya kuugua kwa siku kadhaa na Meneja wa Yanga, Hafidh Saleh amethibitisha hilo.
Imeelezwa Kiula aligua kwa siku kadhaa kabla ya mauti kumfika.
Bado haijaelezwa mipango ya mazishi, lakini mashabiki wanaweza kumkumbuka zaidi kupitia tukio la yeye kujeruhiwa wakati mashabiki walipolishambulia basi la Yanga kwenye Uwanja wa Sokoine mjini Mbeya wakati wa mechi ya Ligi Kuu Bara.
Mungu aipumzishe roho ya mwanamichezo huyo.
AMINA.
UKIONA TUKIO LOLOTE LINATOKEA USISITE KUTUTUMIA PICHA KUPITIA WhatsApp:- 0712483331.
Like ukurasa wetu wa facebook  ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapoweka kwenye mtandao huu bonyza hapa

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top