Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This
Mwimbaji Justin Bieber ambaye jana alitawala vichwa vya habari baada ya kurushiwa makonde na muigizaji Orlando Bloom kwa ajili ya mrembo Miranda Kerr, ameonesha jinsi alivyo na kisu
kirefu zaidi kwa watoto wazuri.
Bieber ameonekana akila bata kwenye yacht katika eneo la Ibiza na mrembo wa Australia anaefahamika kwa jina la Shanina Shaik.
Shanina Shaik ambaye ni mwanamitindo maarufu alipost baadhi ya picha kwenye Instagram akiwa na Justin Bieber.


Mrembo huyo aliwahi kuwa mpenzi wa mwanamitindo maarufu wa Marekani ambaye pia ni muigizaji, Tyson Beckford kwa miaka mingi na uhusiano wao ulivunjika mwaka jana.
UKIONA TUKIO LOLOTE LINATOKEA USISITE KUTUTUMIA PICHA KUPITIA WhatsApp:- 0712-483 331

kama huja like ukurasa wetu wa facebook fanya hivi sasa ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapoweka kwenye mtandao huu bonyza hapa

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top