Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This



Wanafunzi wa mzumbe main campus Morogoro wameua mwizi alyeiba laptop kutoka mabwen mawil tofauti kwa taarifa zaid zinasema uuaji huo umetokea na hasira kali za wanafunzi hao kuibiwa laptop kila siku na pia mwanzafunz mwenzao kuvamiwa barabaran na kujeruhiwa na visu siku zilzopita....
UKIONA TUKIO LOLOTE LINATOKEA USISITE KUTUTUMIA PICHA KUPITIA WhatsApp:- 0712483331.

Like ukurasa wetu wa facebook  ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapoweka kwenye mtandao huu bonyza hapa

Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top