Share this PostPin ThisShare on TumblrShare on Google PlusEmail This



Liberia itapatiwa dawa za majaribio - ambazo hazijafanyiwa majaribio, Zmapp, kujaribu kutibu watu walioambukizwa ugonjwa wa Ebola, imesema serikali ya Liberia. Hatua hiyo imekuja baada ya ombi kutolewa kwa Marekani na Rais wa Liberia, Ellen Johnson Sirleaf, imesema serikali. Habari hizi zimekuja wakati wataalam wa maadili ya kitabibu wakikutana mjini Geneva, kutazama jinsi ya kutumia dawa mpya kama hizo. Shirika la Afya Duniani, WHO, ambalo limeandaa mkutano huo, limesema watu wapatao 1,013 wamekufa Afrika Magharibi kutokana na Ebola.
UKIONA TUKIO LOLOTE LINATOKEA USISITE KUTUTUMIA PICHA KUPITIA WhatsApp:- 0712483331.
Like ukurasa wetu wa facebook  ili habari ziwe zinakuijia punde tu zinapoweka kwenye mtandao huu bonyza hapa


Je, Una Habari,Picha,Tangazo,Makala,

Hifadhi blog hii kwenye simu yako ili upate habari zote kwa urahisi zaidi

Facebook Blogger Plugin by Kibonajoro
http://www.facebook.com/kibonajoro

Post a Comment

 
Top